Askofu Mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amesaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga leo tarehe 22 Machi 2021.