Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu akiwasili Usharika wa Soni kwenye Ibada ya KUINGIZWA KAZINI MKUU WA JIMBO LA KUSINI Mch. Issai Amasia Mweta.
UPDATE.....Matukio katika PICHA, Ibada ya kuingizwa kazini Mch Issai Amasia Mweta, Baba Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu ndiye atakaye muingiza kazini.