Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Dkt.Msafiri Joseph Mbilu leo tarehe 26/07/2021 ameongoza Ibada ya mazishi ya Mama Catherine M. Kanju ambaye ni Mama mzazi wa Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju.
Ibada imefanyika katika Usharika wa Lutindi, Mama Catherine M. Kanju aliitwa mbinguni Alhamisi ya tarehe 22/07/2021 akiwa anapatiwa matibabu katika kituo cha afya cha St Joseph Kwamndolwa Korogwe.
Kaimu Katibu Mkuu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch.Godfrey Tahona Walalaze
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Basilla Mwanukuzi
...................