Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu leo tarehe 05/01/2023 amefungua kikao cha tathmini ya kazi za Dayosisi kwa mwaka 2022. Kikao kinafanyika katika hoteli ya Mbuyukenda Tanga.
ELCT North Eastern Diocese
Ufunguzi wa kikao cha tathmini ya kazi za Dayosisi kwa mwaka 2022.
- Details
- Hits: 1179