Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu leo tarehe 05/01/2023 amefungua kikao cha tathmini ya kazi za Dayosisi kwa mwaka 2022. Kikao kinafanyika katika hoteli ya Mbuyukenda Tanga.
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu leo tarehe 05/01/2023 amefungua kikao cha tathmini ya kazi za Dayosisi kwa mwaka 2022. Kikao kinafanyika katika hoteli ya Mbuyukenda Tanga.