KATIKA PICHA: Siku ya pili , Mkutano wa Wachungaji na Mashemasi KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mkutano huu unafanyika katika Jimbo la Magharibi Usharika wa Mkata . Leo tarehe 05/07/2024 zimewasilishwa mada kutoka kwa wawezeshaji pamoja na taarifa mbalimbali kutoka kwenye Kurugenzi za Dayosisi.