Print

MATUKIO KATIKA PICHA: Ibada ya Jumapili iliyokuwa na matukio mbalimbali ikiwemo Ufunguzi wa nyumba ya mwinjilisti pamoja na Ibada ya kipaimara katika Usharika wa Mbaramo ambapo vijana wapatao 85 wamebarikiwa huku mmoja kati yao akibatizwa.Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ndiye aliyeongoza Ibada hiyo.