Print

 

 Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu   leo tarehe 21/01/2022 amekuwa na mwendelezo wa ziara ya kikazi katika Jimbo la tambarare na ameongoza kikao kazi kilichofanyika katika Usharika wa Korogwe, kikao hicho kilijumuisha Wachungaji, Mashemasi pamoja na wainjilisti wa KKKT-DKMs Jimbo la tambarare.