
KATIKA PICHA Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, akiwa Nchini Italy na Torre Pellice ambapo viongozi mbalimbali wa dini wamekutana na kuhudhuria kozi ya uongozi iliyokuwa inahusu maswala ya Uhamiaji na tamaduni katika jamii (migration and multicultural society) iliyo ratibiwa na Kanisa la Waldensian (Waldensian Church) Kanisa mwanachana wa UEM Nchini ujerumani (partner church of the UEM in Germany).


