
KATIKA PICHA Ibada ya ndoa kati ya Mtheologia Jonathan Denisi Hiza na Bi. Neema Simoni Mbilu. iliyofanyika leo tarehe 28/05/2022 katika Usharika wa Pongwe Jimbo la Pwani. Ndoa hiyo imefungwa na Msaidizi wa Askofu Mch. Michael Mlondakweli Kanju akishirikiana na Mkuu wa Jimbo la Pwani Mch. Thadeus Ketto.




