
KATIKA PICHA: Semina ya Wainjilisti wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki na Askofu iliyokuwa inafanyika katika ukumbi wa mihadhara wa Benjamin William Mkapa (SEKOMU) ambapo leo tarehe 11/06/2022 semina hiyo imefungwa rasmi na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, hapo kesho Wainjilisti hao wanatazamiwa kushiriki Ibada ya Jumapili Kanisa Kuu Lushoto.



