Print

MATUKIO KATIKA PICHA: Ibada ya Jumapili siku ya Bwana ya 5 kabla ya Pasaka siku ya kuondoa ukatili, iliyofanyika KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Usharika wa Kanisa Kuu Lushoto. Ibada hii ilikuwa na matendo mkuu mbalimbali ikiwemu tendo la kufunga mwaka wa Wanawake wa KKKT-DKMs uliozinduliwa 06/03/2022 pamoja na Jubilee ya miaka 25 ya utumishi ya Mchungaji Alice Kopwe na Mch Neema Kamendu.Ibada iliongozwa na inaongozwa na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu. 25/02/2024. Unaweza kutazama Ibada hii kwa kubonyeza link hii hapa chini.