Print

 KATIKA PICHA: Ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa Askofu wa awamu ya Tano KKKT-Dayosisi ya Konde Mch. Geoffrey S. Mwakihaba, Ibada hiyo imefanyika leo tarehe 05/06/2022, katika Usharika wa Kanisa Kuu tukuyu-Mbeya

na kuongozwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kiluther Tanzania (KKKT) Askofu Dkt.Fredrick Shoo huku Liturgia ikiongozwa na Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Dkt. Msafiri Joseph Mbilu.

...............................

Hapo jana katika Ibada maalumu ya kuwekwa wakfu vifaa vya kiuaskofu iliyo ongozwa na Askofu Mstaafu wa Dayosisi hiyo  Askofu Dkt. Israel Peter Mwakyolile katika Usharika wa Kanisa Kuu tukuyu Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Dkt. Msafiri Joseph Mbilu ndiye aliye hubiri katika Ibada hiyo.