Print

KATIKA PICHA: Ibada ya Jumapili ya leo tarehe 28/08/2022 iliyofanyika katika Usharika wa Kisosora Jimbo la Pwani na kuongozwa na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu.Ibada hiyo ilkuwa na tendo la kuwabariki vijana wa kipaimara kumi na moja (11) na wawili (2) kati yao walibatizwa.

Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akimbariki mmoja wa vijana waliopokea Kipaimara.