Leo tarehe 12/12/2020 yamefanyika Mahafali ya kumi na moja katika Chuo kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa (SEKOMU) ambapo Jumla ya wanafunzi 30 wamehitimu masomo yao kama ifuatavyo .Astashahada ya Tehama (Basic Technician Certificate in Computing, Information and Communication-Mhitimu 1.Shahada ya Awali ya Sayansi katika Afya ya Akili na Utengemao (BSc Mental Health and Rehabilitation) Wahitimu 24.Shahada ya Uzamili katika Elimu Maalumu (Master of Education in Special Education) Wahitimu 5.