
Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akipokea taarifa ya Tume Maalum ya kupitia taarifa ya ukaguzi wa hesabu za Dayosisi kutoka kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa tume hiyo W.S Msagati, taarifa hiyo imekabidhiwa mbele ya Halmashauri Kuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki leo tarehe 10/12/2021.