Print

Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mchungaji Michael Mlondakweli Kanju (watatu kutoka kushoto) akiwa na wachungaji waliomaliza mafunzo yao ya CPE (Clinical Pastoral Education) katika Chuo cha KCMC-Moshi.

Msaidizi wa Askofu Mch. Michael Mlondakweli Kanju, Mch. Godfrey Walalaze Katibu Mkuu aliyemaliza muda wake,Wakurugenzi na baadhi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu wakiwa katika zoezi la kumkabidhi Ofisi Katibu Mkuu mpya wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mwl. Julius Samwel Madiga leo tarehe 30/11/2022.