ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • Sehemu ya taarifa,picha za matukio na maelezo  ziara ya Baba Askofu Dkt. Msafiri  Mbilu nchini  Ujerumani.

    Sehemu ya taarifa,picha za matukio na maelezo  ziara ya Baba Askofu Dkt. Msafiri  Mbilu nchini  Ujerumani.

    Tarehe 21/09/2023 akiwa nchini Ujerumani Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu alialikwa kwenye kiwa...
  • Tuungane kwa pamoja kulikabili deni la Dayosisi, Dean Michael Kanju.

    Tuungane kwa pamoja kulikabili deni la Dayosisi, Dean Michael Kanju.

    Msaidizi wa Askofu, KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju amewashukuru...
  • KATIKA PICHA, Mkutano Mkuu wa Fungamano la Makanisa ya Kilutheri Duniani uliomaliziki hivi karibuni.

    KATIKA PICHA, Mkutano Mkuu wa Fungamano la Makanisa ya Kilutheri Duniani uliomaliziki hivi karibuni.

    Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akiwa na Cardinal Kurt Koch, ambaye alipata nafasi ya kufika k...
  • Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kabuku, Jimbo Teule la Magharibi

    Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kabuku, Jimbo Teule la Magharibi

    Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju amewaasa Wash...
  • MATUKIO KATIKA PICHA- Kutoka Usharika wa Źory nchini-Poland

    MATUKIO KATIKA PICHA- Kutoka Usharika wa Źory nchini-Poland

    Matukioa katika picha Ibada ya Jumapili ya tarehe 17/09/2023, katika Usharika wa Źory nchini Poland,...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Msaidizi wa Askofu KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Michael Mlondakweli Kanju afungua mkutano Mkuu wa umoja wa Wanawake wachungaji.

  • Print
Details
Published: 25 March 2021

Msaidizi wa Askofu Mteule wa KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Michael Mlondakweli Kanju amewapongeza Wachungaji wanawake  wa Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kwa umoja wao katika kusaidiana,Kuhamasishana, kutembeleana katika maeneo yao ya kazi pamoja na kuombeana, kwa kuwa ni wito  walioitiwa.

Hits: 1238

Read more ...

Askofu Mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (DKMs), kutembelea Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP) tarehe 28/03/2021

  • Print
Details
Published: 23 March 2021

Askofu Mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch. Dkt. Msafiri Joseph Mbilu pamoja na viongozi wengine wa Dayosisi watatembelea Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP) tarehe 28/03/2021 ambapo watashiriki na kuongoza Ibada katika baadhi ya sharika za DMP.

Hits: 7929

Read more ...

Askofu Mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki asaini kitabu cha maombolezo.

  • Print
Details
Published: 22 March 2021

Askofu Mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amesaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga leo tarehe 22 Machi 2021.

Hits: 7079

Hongera Mhe. Samia Suluhu Hassan

  • Print
Details
Published: 19 March 2021

Hits: 7190
  1. Salamu za Pole
  2. Matukio katika picha Mkutano Mkuu maalumu wa KKKT-DKMS
  3. MWANGAZA Educational Center program Coordinators watembelea Ofisi za KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.
  4. KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki yafanya Uzinduzi wa Harambee kubwa yenye lengo la kuimarisha Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa SEKOMU.

Page 72 of 91

  • 67
  • 68
  • 69
  • ...
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • ...
  • 76

Back to Top

© 2023 ELCT North Eastern Diocese