ELCT North Eastern Diocese
Heri ya Mwaka Mpya 2024 , Tuanze yote katika Jina la Yesu Kristo
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amewataka Wazazi na Walezi wanapo upokea mwaka Mpya wa 2024 kuendelea kuwalea Watoto wao katika maadili mema kwani malezi bora ndiyo msingi wa kumsaidia Mtoto kutimiza malengo yake ya mbeleni.
- Hits: 2856
"Heri ya Krismas"
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewataka Wakristo kumpokea Yesu na kumkaribisha mioyoni mwao ili afanyike Nuru katika maisha yao na kuondoa giza na matendo yasiyofaa ambayo ni chukizo mbele za Mungu yaliyo tanda katika ulimwengu na kuwasihi kumpokea Yesu Kristo ambaye ni nuru ya ulimwengu.
- Hits: 2533
Askofu Dkt. Mbilu awataka wana Lushoto kuchangamkia fursa za kibiashara.
- Details
- Hits: 2229
Watumishi wa Mungu watakiwa kuwa mfano mzuri kwa watu wanaowaongoza
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch, Dkt Msafiri Joseph Mbilu amewataka wachungaji na watumishi kutambua kua wanapoitwa kumtumikia Mungu katika huduma yao wanaitwa wao pamoja na wenzi wao ili kuibeba huduma hiyo ambayo Mungu amewaitia.
- Hits: 2680
Page 10 of 109