ELCT North Eastern Diocese
Ibada ya mazishi ya Mch. Yesaya M. Zahabu
- Details
Leo tarehe 06/11/2020 imefanyika Ibada ya mazishi ya Mch. Yesaya M. Zahabu katika Usharika wa Msongolo aliyeitwa mbinguni tarehe 03/11/2020. Mchungaji Yesaya Zahabu alikuwa akihudumu katika Usharika wa Kwalukonge. BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA libarikiwe.
- Hits: 14619
Page 115 of 125