ELCT North Eastern Diocese
Pumzika kwa amani Mzee Dastan Mazimu
- Details

- Hits: 4412
Mkesha wa Maombi kuiombea KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki
- Details
MATUKIO KATIKA PICHA. Mkesha wa Maombi kuiombea KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, kutoka Jimbo la Tambarare Usharika wa Muheza Tarehe. 26/07/2024
- Hits: 3924
Askofu Dkt. Mbilu atembelea Shamba la Irente Farm atoa pongezi kwa uongozi na wafanyakazi
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, umeupongeza uongozi na wafanyakazi wa shamba la Irente Farm kwa kazi nzuri wanayoifanya na kuwataka kuongeza juhudi ili shamba hilo linalomilikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki lizalishe zaidi kulingana na ukubwa wake.
- Hits: 4471
KKKT yawatoa hofu waumini uuzwaji wa eneo la SEKOMU
- Details
KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania -Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), limewatoa hofu waumini kuhusu uuzwaji wa mali za kilichokuwa Chuo Kikuu cha kumbukumbu ya Sebastian Kolowa SEKOMU, kinachomilikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Upendo Media, Mkuu wa KKKT Askofu Dkt. Alex Malasusa na Askofu Dkt. Msafiri Mbilu wa KKKT-DKMs wamesema, Kanisa linaitunza jambo hilo kupitia KKKT-DKMs na kuwataka waumini wa KKKT nchini kote kuwa na utulivu wakati jambo hilo likifanyiwa kazi. "Napenda kuwajulisha waumini wote, uongozi wa KKKT-DKMs umekuwa ukifanyia kazi jambo hilo na ni matumaini yangu kuwa jambo hili litapata muafaka na kupewa taarifa rasmi. " alisema Askofu Dkt. Mbilu. Viongozi hao wametoa taarifa hiyo kufuatia tangazo la mnada wa eneo la Chuo hicho lililoonekana kwenye vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii na hivyo kuwaomba waumini kutulia. "Ni kweli tupo kwenye changamoto lakini jambo hili bado halijawa nje ya uwezo wetu na tunaamini kila kitu kitakwenda vizuri," alisema Askofu Dkt. Mbilu.
- Hits: 4313
Page 13 of 127