ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • Askofu Dkt. Msafiri  Mbilu, Ziarani Nchini Ujerumani

    Askofu Dkt. Msafiri Mbilu, Ziarani Nchini Ujerumani

    Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Joseph Mbilu yupo katika ziara ya kikaz...
  • Askofu Dkt. Mbilu, kuhusu zoezi linaloendelea la kuchukuwa maoni juu ya Katiba  Mpya ya KKKT

    Askofu Dkt. Mbilu, kuhusu zoezi linaloendelea la kuchukuwa maoni juu ya Katiba Mpya ya KKKT

    Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amepongeza ka...
  • Dean Mstaafu Michael Kanju akabidhi rasmi  majukumu ya ofisi ya Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs  kwa Dean Mteule Frank Mntangi.

    Dean Mstaafu Michael Kanju akabidhi rasmi majukumu ya ofisi ya Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs kwa Dean Mteule Frank Mntangi.

    Dean Mteule Frank Richard Mntangi, ametambulishwa rasmi katika Makao Makuu ya Ofisi ya KKKT-Dayosisi...
  • KKKT Marathon June 21,2025, Kimbia kwa Moyo, Saidia kwa Upendo.

    KKKT Marathon June 21,2025, Kimbia kwa Moyo, Saidia kwa Upendo.

  • Mch. Frank Richard Mntangi Dean Mteule KKKT-DKMs

    Mch. Frank Richard Mntangi Dean Mteule KKKT-DKMs

    Wajumbe 217 kati ya 246 wa Mkutano Mkuu wa tano (5) baada ya Jubilee ya miaka 125 ya Injili KKKT-Day...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Pumzika kwa amani Mzee Dastan Mazimu

  • Print
Details
Published: 27 July 2024
HABARI KWA UFUPI:
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewakumbusha Wakristo kuishi maisha ya kumpendeza Mungu ili wawe na mwisho mwema. Askofu Dkt.Mbilu ametoa wito huo katika Ibada ya Mazishi ya Marehemu Mzee Dastan Mazimu yaliyofanyika katika Usharika wa Bumbuli tarehe 27/07/2024.
Hits: 4412

Read more ...

Mkesha wa Maombi kuiombea KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki

  • Print
Details
Published: 26 July 2024

MATUKIO KATIKA PICHA. Mkesha wa Maombi kuiombea KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, kutoka Jimbo la Tambarare Usharika wa Muheza Tarehe. 26/07/2024

 

Hits: 3924

Read more ...

Askofu Dkt. Mbilu atembelea Shamba la Irente Farm atoa pongezi kwa uongozi na wafanyakazi

  • Print
Details
Published: 25 July 2024

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, umeupongeza uongozi na wafanyakazi wa shamba la Irente Farm kwa kazi nzuri wanayoifanya na kuwataka kuongeza juhudi ili shamba hilo linalomilikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki lizalishe zaidi kulingana na ukubwa wake.

Hits: 4471

Read more ...

KKKT yawatoa hofu waumini uuzwaji wa eneo la SEKOMU

  • Print
Details
Published: 19 July 2024

KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania -Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), limewatoa hofu waumini kuhusu uuzwaji wa mali za kilichokuwa Chuo Kikuu cha kumbukumbu ya Sebastian Kolowa SEKOMU, kinachomilikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Upendo Media, Mkuu wa KKKT Askofu Dkt. Alex Malasusa na Askofu Dkt. Msafiri Mbilu wa KKKT-DKMs wamesema, Kanisa linaitunza jambo hilo kupitia KKKT-DKMs na kuwataka waumini wa KKKT nchini kote kuwa na utulivu wakati jambo hilo likifanyiwa kazi. "Napenda kuwajulisha waumini wote, uongozi wa KKKT-DKMs umekuwa ukifanyia kazi jambo hilo na ni matumaini yangu kuwa jambo hili litapata muafaka na kupewa taarifa rasmi. " alisema Askofu Dkt. Mbilu. Viongozi hao wametoa taarifa hiyo kufuatia tangazo la mnada wa eneo la Chuo hicho lililoonekana kwenye vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii na hivyo kuwaomba waumini kutulia. "Ni kweli tupo kwenye changamoto lakini jambo hili bado halijawa nje ya uwezo wetu na tunaamini kila kitu kitakwenda vizuri," alisema Askofu Dkt. Mbilu.

Hits: 4313

Read more ...

  1. Watumishi waandaliwa kukabiliana na mmomonyoko wa maadili
  2. Tamati ya Ziara ya Mch Dkt. Albrecht Philips wa Kanisa la Westphalia Ujerumani
  3. Ziara ya Mchungaji Dkt. Albrecht Philips KKKT-DKMs
  4. Wachungaji watakiwa kuwa mstari wa mbele kukemea maovu

Page 13 of 127

  • 8
  • 9
  • ...
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • ...
  • 16
  • 17

Back to Top

© 2025 ELCT North Eastern Diocese