ELCT North Eastern Diocese
Ibada ya Kipaimara Usharika wa Tamota, Youths Confirmation at Tamota Lutheran Parish
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki amewashukuru washarika wa Usharika wa Tamota na wanadayosisi kwa ujumla kwa namna wanavyoendelea kushikamana na kujitoa katika kumtumikia Mungu.
- Hits: 2161
Ziara ya kikazi ya Baba Askofu Dkt. Mbilu,katika Jimbo la Magharibi, Usharika wa Gombero
- Details
MATUKIO KATIKA PICHA . Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu,Tarehe: 26/10/2023, akiwa katika ziara ya kikazi katika Jimbo la Magharibi, Usharika wa Gombero, ambapo kumefanyika Ibada zilizoambatana na matendo mbalimbali.
- Hits: 2271
Ibada ya Kipaimara Usharika wa Manka , Youths Confirmation at Manka Lutheran Parish
- Details
MATUKIO KATIKA PICHA:- Tarehe 22/10/2023 ilikuwa siku ya furaha na baraka tele kwa washarika wa Jimbo la Kusini Usharika wa Manka ambapo, Jumla ya Vijana wa Kipaimara 60 wamebarikiwa katika Jimbo la Kusini Usharika wa Manka huku Vijana hao wakitoa shukrani zao kwa Baba Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu kwa kupata nafasi ya kufundishwa mafundisho ambayo yameimarisha Imani yao huku wakisema kupitia mafundisho hayo mazuri ya neno la Mungu wamepata msingi imara wa kiroho na kimwili.
- Hits: 3471
Ibada ya Kipaimara Usharika wa Bungu , Youths Confirmation at Bungu Lutheran Parish
- Details
MATUKIO KATIKA PICHA. Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akiwa katika Ibada ya kuwabariki Vijana wa Kipaimara katika Jimbo la Kusini, Usharika wa Bungu,Ibada hii ilitanguliwa na ufunguzi wa Makanisa katika Mtaa wa Kwakibomi pamoja na Mtaa wa Msasa huku Jumla ya Vijana 127 wakibarikiwa na wawili kati yao kubatizwa.
- Hits: 2254
Page 14 of 107