Katika kuungana kwa pamoja kuchangia DENI linaloikabili KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ili kunusuru mali zake zisipigwe mnada sasa unaweza kutumia namba hizi za simu kutoka mitandao ya Airtel Vodacom na Tigo kutuma mchango wako.




Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu
Katika kuungana kwa pamoja kuchangia DENI linaloikabili KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ili kunusuru mali zake zisipigwe mnada sasa unaweza kutumia namba hizi za simu kutoka mitandao ya Airtel Vodacom na Tigo kutuma mchango wako.


