Mkuu wa Shule ya Sekondari Lwandai anawatangazia ndugu wazazi na wahitimu wa kidato cha Nne mwaka 2020 kwamba nafasi za kujiunga na kidato cha tano bado zipo japo kwa uchache sana.

 Sifa za mwombaji kwa kidato cha sita.

  1. Awe na ufaulu wa kuanzia alama ya C na kupanda juu katika masomo matatu.
  2. Asiwe na alama ya "F" katika tahasusi(combination) anayotarajia kuisoma.
  3. Na iwapo muombaji hana sifa ya 2. Kama ilivyotajwa hapo juu basi atasajiliwa kama private candidate ila ataishi shule na kufundishwa kama wanafunzi wengine wanaofanya kama watahiniwa wa shule.

Wahi sasa nafasi ni chache na fomu ya kujiunga utatumiwa popote Tanzania au pakua form yetu  kupitia tovuti hii.

Hivyo kwa yeyote anayehitaji fomu ya kujiunga awasiliane na uongozi   kwa namba zifuatazo:

0785 444438 mkuu wa shule.

0769 149 028- Taaluma

0786 066 702- Taaluma.

 

Honourable Jenista Joachim Mhagama(MP) is a Minister of state in the Prime Minister's office responsible for Policy, Parliamentary Affairs, Labour, Employment, Youth and the Disabled payed a visit at Lwandai Secondary School on 29th July 2018.

On 20th April 2018 Form six students and Lwandai staff members were visited by pastors and members of school committee at  the school  in Mlalo . The Guest of honor was Rev James Mwinuka (General Secretary-NED) during the event.