ELCT North Eastern Diocese
ELCT-NED FAMILY BONANZA 2025
- Details

ELCT-NED FAMILY BONANZA, lililoratibiwa na Kurugenzi ya Uchumi, Mipango na Maendeleo Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), limefanyika tarehe 13 Desemba 2025 katika Hoteli ya Mbuyukenda, jijini Tanga, likiwakutanisha waumini, wadau mbalimbali pamoja na familia zao kutoka maeneo mbalimbali.
- Hits: 1233
Askofu Dkt. Mbilu Atamatisha Kalenda ya Matukio 2025, Awashukuru Wanadayosisi kwa Ushirikiano wa Kipekee
- Details

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amewashukuru kwa dhati wanadayosisi wote kwa namna wanavyoendelea kujitoa katika ulipaji wa Deni la Dayosisi, akisisitiza kuwa hatua hiyo imekuwa ikitoa matumaini makubwa katika kufanikisha mpango wa kulimaliza deni hilo.
- Hits: 1211
Page 1 of 134



