ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • Pumzika kwa Amani Mwl. Mwanga  Yona  Wetundwa

    Pumzika kwa Amani Mwl. Mwanga Yona Wetundwa

  • Mwendelezo wa Ziara ya Askofu Johan Tyrberg

    Mwendelezo wa Ziara ya Askofu Johan Tyrberg

  • Pumzika kwa Amani Mchungaji Yohana Vicent Titu

    Pumzika kwa Amani Mchungaji Yohana Vicent Titu

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA KKKT – MKATA – TZ1211

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA KKKT – MKATA – TZ1211

    Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya Kilutheri yaliungana na k...
  • Tangazo la kazi Mratibu wa Kituo cha Maendeleo ya Mtoto TZ1211 MKATA-HANDENI

    Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya Kilutheri yaliungana na k...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Mwendelezo wa Ziara ya Askofu Johan Tyrberg

  • Print
Details
Published: 27 September 2025

 

Hits: 576

Read more ...

Pumzika kwa Amani Mwl. Mwanga Yona Wetundwa

  • Print
Details
Published: 06 October 2025

Hits: 721

Pumzika kwa Amani Mchungaji Yohana Vicent Titu

  • Print
Details
Published: 26 September 2025

Hits: 629

TANGAZO LA NAFASI YA KAZI MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA KKKT – MKATA – TZ1211

  • Print
Details
Published: 22 August 2025

Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya Kilutheri yaliungana na kuunda Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania . Leo hii KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) yenye Makao Makuu Wilayani Lushoto Mkoani Tanga ni miongoni mwa Dayosisi 28 za KKKT. Dayosisi inaitwa hivyo kwakuwa inapatikana Kaskazini Mashariki mwa Tanzania katika Mkoa wa Tanga. Kwahiyo KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) ni taasisi ya kidini iliyosajiliwa tarehe 19 Juni 1963 na Makao yake Makuu yapo Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga. Dhamira ya KKKT-DKMs ni kufundisha na kuhubiri neno la Mungu na kutoa huduma nzuri za kiroho, kimwili, kiakili, kiuchumi na kijamii kwa watu wote. Taasisi hii KUPITIA COMPASSION INATANGAZA NAFASI MOJA YA MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA (CHILD AND YOUTH DEVELOPMENT CENTER COORDINATOR (CYDC).

Utangulizi Mratibu wa Kituo cha Maendeleo ya Mtoto na Kijana ni mwajiriwa wa Kanisa na atatumika katika Kituo cha Maendeleo ya Mtoto na Kijana (KKKT – MKATA – TZ1211) kilichopo Sindeni – Wilaya ya Handeni.

 1.1 MAJUKUMU

  • Kuandaa Mpango wa mwaka wa Mshirika-Mwenza wa Kituo cha Maendeleo ya Mtoto na Kijana kwa kushirikiana na wadau wote na kuwasilisha kwa Kamati ya Huduma ya Mtoto kwa uthibitisho na kuidhinishwa na uongozi wa Kanisa.
  • Kuwasilisha taarifa ya kimaandishi ya Utendaji na Maendeleo ya Kituo kwa amati, Uongozi wa Kanisa na Huduma ya Compassion International Tanzania kama itakavyo takiwa kwa pande zote husika.
  • Kuhakikisha kuwa taarifa zote za fedha na Watoto zinatunzwa vizuri na kuhuishwa kila mara zinapohitajika.
  • Kushiriki katika zoezi la Usaili wa kuwapata watendakazi wengine wote wa Kituo kwa kutoa maoni ya kitaalamu kuhusu nafasi hizo.
  • Kuhakikisha mazingira ya walengwa kituoni ni salama kwao kujifunza na kushiriki katika programu zote za Kituo.
  • Kuhamasisha upatikanaji wa Raslimali za ndani kwa ajili ya Miundombinu inayohitajika kwa walengwa kujifunza.
  • Hits: 2133

    Read more ...

  1. Tangazo la kazi Mratibu wa Kituo cha Maendeleo ya Mtoto TZ1211 MKATA-HANDENI
  2. Tangazo la Ajira Mtendakazi wa Huduma ya Kunusuru Maisha ya Mama na Mtoto
  3. Askofu na Vijana 2025
  4. Askofu Dkt. Mbilu kila Makristo anaowajibu wa Kushuhudia Nuru na Upendo wa Kweli wa Yesu Kristo

Page 1 of 132

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10

Back to Top

© 2025 ELCT North Eastern Diocese