ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • Sehemu ya taarifa,picha za matukio na maelezo  ziara ya Baba Askofu Dkt. Msafiri  Mbilu nchini  Ujerumani.

    Sehemu ya taarifa,picha za matukio na maelezo  ziara ya Baba Askofu Dkt. Msafiri  Mbilu nchini  Ujerumani.

    Tarehe 21/09/2023 akiwa nchini Ujerumani Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu alialikwa kwenye kiwa...
  • Tuungane kwa pamoja kulikabili deni la Dayosisi, Dean Michael Kanju.

    Tuungane kwa pamoja kulikabili deni la Dayosisi, Dean Michael Kanju.

    Msaidizi wa Askofu, KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju amewashukuru...
  • KATIKA PICHA, Mkutano Mkuu wa Fungamano la Makanisa ya Kilutheri Duniani uliomaliziki hivi karibuni.

    KATIKA PICHA, Mkutano Mkuu wa Fungamano la Makanisa ya Kilutheri Duniani uliomaliziki hivi karibuni.

    Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akiwa na Cardinal Kurt Koch, ambaye alipata nafasi ya kufika k...
  • Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kabuku, Jimbo Teule la Magharibi

    Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kabuku, Jimbo Teule la Magharibi

    Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju amewaasa Wash...
  • MATUKIO KATIKA PICHA- Kutoka Usharika wa Źory nchini-Poland

    MATUKIO KATIKA PICHA- Kutoka Usharika wa Źory nchini-Poland

    Matukioa katika picha Ibada ya Jumapili ya tarehe 17/09/2023, katika Usharika wa Źory nchini Poland,...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Sehemu ya taarifa,picha za matukio na maelezo  ziara ya Baba Askofu Dkt. Msafiri  Mbilu nchini  Ujerumani.

  • Print
Details
Published: 27 September 2023

Tarehe 21/09/2023 akiwa nchini  Ujerumani Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu alialikwa kwenye kiwanda cha kutengeneza makontena na stoo maalum zinazozuia moto, kiwanda hiki  kinasimamiwa na kampuni ya  DENIOS. Hapa Baba Askofu alikutana  na baadhi ya marafiki walioonyesha moyo wa kujitolea kufadhili mradi mkubwa wa maji katika kijiji cha Makose kilichoko kwenye Usharika wa Mwangoi. Kutoka kulia ni Bw. Ernst-Ludwig Homann (anayesimamia mawasiliano kati ya Usaharika wa Mwangoi na Usharika rafiki wa Bergkirchen - Ujerumani), Bw. Helmut Dennig (Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Kampuni ya DENIOS) na Askofu Dkt. Mbilu. Mradi huu ambao utatekelezwa na kusimamiwa na Usharika rafiki wa Bergkirchen ni miongoni mwa miradi kadhaa ya maji iliyowekwa kwenye eneo la Usharika wa Mwangoi wa KKKT - Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.

Hits: 320

Read more ...

Tuungane kwa pamoja kulikabili deni la Dayosisi, Dean Michael Kanju.

  • Print
Details
Published: 22 September 2023

Msaidizi wa Askofu, KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju amewashukuru Washarika wa Usharika wa Mgwashi na wanadayosisi kwa namna wanavyo endelea kujitoa kwa hali na mali kuchangia deni linaloikabili Dayosisi.

Hits: 345

Read more ...

KATIKA PICHA, Mkutano Mkuu wa Fungamano la Makanisa ya Kilutheri Duniani uliomaliziki hivi karibuni.

  • Print
Details
Published: 21 September 2023

Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akiwa na Cardinal Kurt Koch, ambaye alipata nafasi ya kufika kwenye Mkutano Mkuu wa Fungamano la Makanisa ya Kilutheri Duniani (LWF), huyu ni  kiongozi wa ngazi ya juu ndani ya  Kanisa Katoliki. Cardinal  Koch,ndiye anayehusika na maswala ya kuimarisha na kuendeleza Umoja wa Kikristo katika ofisi ya Papa, Vatican ( Prefect of the Vatican Dicastery for Promoting Christian Unity).

Hits: 338

Read more ...

Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kabuku, Jimbo Teule la Magharibi

  • Print
Details
Published: 17 September 2023
Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki  Mch. Michael Mlondakweli Kanju amewaasa Washarika wa Kabuku, Jimbo teule la Magharibi na Wakristo kwa ujumla  kuchora alama ya msalaba mioyoni mwao na kumkaribisha Yesu katika maisha yao na waache kuangalia ukubwa wa tatizo na badala yake wamwangalie Yesu. Pia amesema wakianguka na kushindwa wasizame kwenye dhambi bali waamke na kuutafuta uso wa Bwana.
Hits: 413

Read more ...

  1. MATUKIO KATIKA PICHA- Kutoka Usharika wa Źory nchini-Poland
  2. Askofu Dkt. Mbilu kuongoza nyimbo za utamaduni wa Kiafrika Mkutano Mkuu wa LWF.
  3. Askofu Dkt. Msafiri Mbilu, nyumbani kwa Dean Mstaafu Mzee Amasia Mweta.
  4. Ibada ya Kipaimara Jimbo la Kusini ,Usharika wa Irente.

Page 1 of 91

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10

Back to Top

© 2023 ELCT North Eastern Diocese