ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • Askofu Dkt. Msafiri  Mbilu, Ziarani Nchini Ujerumani

    Askofu Dkt. Msafiri Mbilu, Ziarani Nchini Ujerumani

    Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Joseph Mbilu yupo katika ziara ya kikaz...
  • Askofu Dkt. Mbilu, kuhusu zoezi linaloendelea la kuchukuwa maoni juu ya Katiba  Mpya ya KKKT

    Askofu Dkt. Mbilu, kuhusu zoezi linaloendelea la kuchukuwa maoni juu ya Katiba Mpya ya KKKT

    Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amepongeza ka...
  • Dean Mstaafu Michael Kanju akabidhi rasmi  majukumu ya ofisi ya Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs  kwa Dean Mteule Frank Mntangi.

    Dean Mstaafu Michael Kanju akabidhi rasmi majukumu ya ofisi ya Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs kwa Dean Mteule Frank Mntangi.

    Dean Mteule Frank Richard Mntangi, ametambulishwa rasmi katika Makao Makuu ya Ofisi ya KKKT-Dayosisi...
  • KKKT Marathon June 21,2025, Kimbia kwa Moyo, Saidia kwa Upendo.

    KKKT Marathon June 21,2025, Kimbia kwa Moyo, Saidia kwa Upendo.

  • Mch. Frank Richard Mntangi Dean Mteule KKKT-DKMs

    Mch. Frank Richard Mntangi Dean Mteule KKKT-DKMs

    Wajumbe 217 kati ya 246 wa Mkutano Mkuu wa tano (5) baada ya Jubilee ya miaka 125 ya Injili KKKT-Day...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Askofu Dkt. Msafiri Mbilu, Ziarani Nchini Ujerumani

  • Print
Details
Published: 01 May 2025
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Joseph Mbilu yupo katika ziara ya kikazi Nchini Ujerumani ambapo ameambatana na Dean Mteule Frank Mtangi pia wamepata wasaa wa kutembelea Jimbo la Staaken kwenye Jiji la Berlin.
Askofu Dkt Mbilu aliongoza Ibada ya Jumapili ya tarehe 27/04/2025, ziara hii ya kikazi imekua na vikao mbalimbali vya kuimarisha urafiki na umoja katika kuleta maendeleo chanya ya KKKT-DKMs. Katika kikao hiki Jimbo la Staaken limeamua kuweka nguvu kubwa katika kusaidia Kituo cha Watoto yatima Irente.
 
Askofu Dkt. Mbilu na Dean Mteule Mntangi wapo katika Mji wa Hannover kushiriki Sikukuu ya Kanisa inayoitwa kwa Kijerumani Kirchentag. Sikukuu hii ya Kanisa la Kiinjili Ujerumani inahudhuriwa na Wakristo wengi sana,na watu 100,000 walishiriki katika Ibada ya Ufunguzi. Sikukuu hii ya Kanisa ilianza tangia tarehe 30/04/2025 hadi tarehe 4/5/2025 Hannover Ujerumani.
Ibada ilipambwa na kikundi cha Tarumbeta cha wapigaji wapatao 3000 na Waimbaji 1200 na Mgeni Rasmi alikuwa Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier ambapo mara baada ya Ibada hiyo Askofu Dkt. Mbilu alipata nafasi ya kufanya mazungumzo na Rais wa Ujerumani kuhusu Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.
Hits: 872

Askofu Dkt. Mbilu, kuhusu zoezi linaloendelea la kuchukuwa maoni juu ya Katiba Mpya ya KKKT

  • Print
Details
Published: 22 April 2025
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amepongeza kazi nzuri inayofanywa na Halmashauri ya Katiba ya KKKT, juu ya zoezi linaloendelea la kuchukuwa maoni juu ya Katiba Mpya ya KKKT na kusema kuwa anaamini Katika Mpya ya KKKT, itakuwa jumuishi na italeta umoja wa kweli katika Kanisa.
 
Hits: 1372

Read more ...

Dean Mstaafu Michael Kanju akabidhi rasmi majukumu ya ofisi ya Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs kwa Dean Mteule Frank Mntangi.

  • Print
Details
Published: 15 April 2025

Dean Mteule Frank Richard Mntangi, ametambulishwa rasmi katika Makao Makuu ya Ofisi ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) yaliyopo Lushoto Tanga. Zoezi hili la utambulisho lililoongozwa na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu. Dean Mtangi  amepokelewa na kutambulishwa kwa wakurugenzi pamoja na watumishi wa Ofisi Kuu.

Hits: 1438

Read more ...

KKKT Marathon June 21,2025, Kimbia kwa Moyo, Saidia kwa Upendo.

  • Print
Details
Published: 14 April 2025

Hits: 1625

Read more ...

  1. Mch. Frank Richard Mntangi Dean Mteule KKKT-DKMs
  2. Askofu Dkt. Mbilu ziarani Shule ya Sekondari Lwandai
  3. Pumzika kwa Amani Mama Askofu Elfriede Sebastian Kolowa
  4. Tangazo la kazi Mratibu wa Kituo cha Maendeleo ya Mtoto

Page 1 of 127

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10

Back to Top

© 2025 ELCT North Eastern Diocese