Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya KKKT-DKMs na Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ameongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya KKKT-DKMs katika ukumbi wa mikutano, Utondolo Lushoto Tanga leo tarehe 26, Machi 2024.