Njooni tumwimbie BWANA wimbo mpya, Safina Lutheran Choir ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,Jimbo la Pwani Usharika wa Pongwe wameandaa tamasha la Uimbaji,
wanapenda kukualika  kushiriki katika tamasha  litakalo fanyika Jumapili ya tarehe 05/12/2021  kuanzia Saa 7:00 Mchana. Katika Usharika wa Pongwe.