Uncategorised
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch. Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amewashukuru Washarikwa wa Usharika wa Mlalo na wana KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kwa namna wanavyojitoa katika kumtumikia Mungu.
- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ameupongeza uongozi wa Taasisi ya Elimu ya Kolowa Technical Training Institute (KOTETI), kwa kazi nzuri inayofanyika katika nyanja ya mafunzo kwa kuzingatia kasi na viwango katika utoaji wa Elimu katika taasisi hiyo inayomilikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.
- Details

Usharika Mpya wa Bethania ni Usharika uliozaliwa kutoka katika Usharika Mama wa Kange. Usharika huu uliopo katika Jimbo la Pwani unaundwa na Mitaa miwili ambayo ni Mtaa wa SENTA pamoja na Mtaa wa PENUEL. Mtaa wa Senta upo katika maeneo ya Kange kasera karibu na Chuo cha Utumishi wa Umma na Mtaa wa Penuel upo katika maeneo ya Kasera. Mitaa yote hii miwili ilikua chini ya uangalizi wa Usharika mama wa Kange.
- Details

Page 26 of 124

