Idara ya Vijana KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Jimbo la Pwani imefanya mkutano mkuu wa vijana ulikuwa na agenda ya uchaguzi wa viongozi wa vijana ngazi ya jimbo leo tarehe 27 Machi,2021 katika Usharika wa Kana Tanga.

Walio chaguliwa ni Bi.Monica Kitururu mwenyekiti kutoka Usharika wa Kana, Godchance Makamu  kutoka Usharika wa Makorora  .Jausia Mziray  Katibu kutoka Mission ya mto Pangani,Msuya ,Katibu Msaidizi kutoka Usharika wa Pangani na Anzamen Kileo  kutoka Usharika wa Kana amechaguliwa kuwa Mtunza hazina.

 WAJUMBE NI.

  1. Roda Yohana- Bethlehem
  2. Isaya Kifua Maramba

Viongozi mbali mbali wa vijana kutoka sharika za Jimbo la Pwani

Mwenyekiti wa vijana ngazi ya jimbo Bi.Monica Kitururu, akiwashukuru wajumbe mara baada ya uchaguzi.