Mkuu wa jimbo la Pwani (KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ) Mch. Thadeus Ketto  akisaini kitabu cha maombolezo na kutoa heshima za mwisho kwa HAYATI RAIS DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga .