SEHEMU YA MATUKIO KATIKA PICHA, Ibada ya kuingizwa kazini kwa msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Mkoani Mara. Mch Eliya Kisarema Bwigeki iliyofanyika tarehe 24/04/2022, Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs, Mch Michael Mlondakweli Kanju alimuwakilisha Askofu wa KKKT-DKMs Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu katika Ibada hiyo.