Uncategorised
- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch.Dkt Msafiri Joseph Mbilu leo Tarehe 25/12/2021 ameongoza Ibada katika Kanisa Kuu (Cathedral) Lushoto.Ikiwa leo ni sikukuu ya Krismas Baba Askofu Mbilu amehubiri neno la Mungu kutoka kitabu cha Luka 2:10 nalo linasema “Malaika akawaambia, Msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea habari njema ya furaha kuu itakayokuwa kwa watu wote”.
- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu ameongoza Ibada ya mazishi ya marehemu Mzee Enock Nickodem Magombya Leo tarehe 22/12/2021 katika Usharika wa Hale Jimbo la Tambarare.
- Details

Nyumba hubarikiwa ukaamo,Yesu,uliye mpenzi wa moyo,wakukaribishapo kwa furaha,uliye mgeni wa heshima kuu.mioyo yetu inapokupenda na macho Yote yakungojapo, midomo yote ikuulizapo, na watu wote wanapokutii.
Page 93 of 124


