Uncategorised
- Details

Mchungaji Issai Amasia Mweta ameingizwa kazini kuwa Mkuu wa Jimbo la Kusini KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki . Mch Issai Amasia Mweta alichaguliwa katika mkutano Mkuu uliofanyika Katika Kanisa Kuu Lushoto Novemba 25 hadi 27 mwaka jana na ameingizwa kazini na Baba Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu leo tarehe 30/05/2021 katika Usharika wa Soni.
- Details

Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu akiwasili Usharika wa Soni kwenye Ibada ya KUINGIZWA KAZINI MKUU WA JIMBO LA KUSINI Mch. Issai Amasia Mweta.


UPDATE.....Matukio katika PICHA, Ibada ya kuingizwa kazini Mch Issai Amasia Mweta, Baba Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu ndiye atakaye muingiza kazini.


- Details

Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewatahadharisha na kuwaonya watu wanao vamia maeneo mbalimbali ya Kanisa kuacha uchokozi mara moja na wasidhani kuwa yeye ni mpole au mnyonge kwani hatasita kufuatilia haki ya maeneo hayo ambayo yanalipiwa kodi na kumilikiwa kisheria na Dayosisi hiyo.
Page 112 of 125


