Mwangaza program coorinators leo tarehe 10/03/2021 wamepata nafasi ya kutembelea Makao Makuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki lengo likiwa ni kutembelea shule za sekondari za Dayosisi.

Katika picha ni ,Mwl.John Kavishe wa kwanza kutoka kushoto,Mr.Richard Mbwambo wa pili kutoka Kushoto,Mch.Joyce Kibanga Mkurugenzi wa huduma za jamii wa tatu kutoka kushoto na Bi.Salome Lally wa nne kutoka kushoto. Kutoka kulia ni Bw. David Chanyeghea Kaimu Mkurugenzi Uchumi,Mipango na Maendeleo, Kaimu Katibu Mkuu Mch.Godfrey Walalaze wa pili kutoka kulia, Dean Mteule Mch. Michael Kanju wa tatu kutoka kulia na Askofu. mteule Mch.Dkt.Msafiri Joseph Mbilu wa tano kutoka kulia.