Uncategorised
- Details
HABARI KWA UFUPI

Mkuu wa KKKT Askofu Dkt. Alex Malasusa amewataka Wakurugenzi wa Taasisi za Kanisa kuwa wabunifu katika kuendesha Taasisi hizo pamoja na kujifunza kwa wengine ili kuongeza ufanisi na kuweza kufanya vizuri katika kutoa huduma bora kwenye jamii.
- Details

NENO KUU: JIANDAE KWA HUKUMU YA MWISHO
NENO LA MAHUBIRI: Mathayo 25:14-30
UTANGULIZI
Leo ikiwa ni jumapili ya pili (2) kabla ya kuingia katika kipindi cha MAJIRIO, majira ambayo wakristo wote ulimwenguni wanayaangalia mambo makubwa mawili 1. Kukumbuka ujio wa kwanza wa Bwana Yesu hapa ulimwenguni ambapo miaka zaidi ya 2000 iliyopita alizaliwa na kuleta ukombozi kwa kila mtu aliyemuamini na wanaoendelea kumuamini hata sasa. 2. Jambo la pili ambalo sisi wakristo tunaliangalia katika majira haya ni maandalizi yetu kwa ajili kumpokea Bwana Yesu katika ujio wake wa pili, ambapo analijia kanisa lake katika hukumu ya mwisho.
- Details

- Details

Page 16 of 125

