Uncategorised
- Details

Mch Dkt. Albrecht Philips kutoka Kanisa la Westphalia (Evangelical Church of Westphalia) Ujerumani pamoja na msafara aliombatana nao, wamehitimisha ziara yao ya siku mbili ya kuitembelea KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), ikiwa ni pamoja na baadhi ya vituo vinavyo milikiwa na KKKT-DKMs, kwa lengo la kuona vituo hivyo vinavyofanya kazi ili kuweka nguvu ya pamoja katika kuviboresha ili viendane na wakati.
- Details
HABARI PICHA:

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, akiwa ameongozana na ugeni kutoka Kanisa la Westphalia (Evangelical Church of Westphalia) Ujerumani, unaoongozwa na Mch Dkt. Albrecht Philips.
- Details


Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amewataka Wachungaji waliobarikiwa pamoja na Watumishi wengine wa Kanisa kuendelea kukemea matendo maovu na mafundisho potofu ya neno la Mungu yaliyotanda katika jamii na ulimwengu kwa ujumla ili kuwezesha jamii kuendelea kuishi kwa amani na utulivu.
- Details
HABARI KWA UFUPI.

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amemshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kuwajali na kuwahudumia Wananchi katika sekta ya Afya kwa kujenga Hospital kubwa ya Wilaya ya Handeni iliyopo katika Kijiji cha Mkata, kwa kushirikiana na wadau wengine wa maendeleo kutoka ndani na nje ya Nchi.
Page 24 of 125

