Uncategorised
- Details
- Details
KATIKA PICHA: Mkuu mpya wa Wilaya ya Lushoto Bw. Zephania Stephan Sumaye leo tarehe 29/08/2024 ametembelea Ofisi za Makao Makuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) yaliyopo Wilayani Lushoto Mkoa wa Tanga kwa lengo la kujitambulisha kwa Uongozi wa Dayosisi. Bw. Zephania Sumaye alipokelewa na watumishi wa Ofisi Kuu ya KKKT-DKMs na kupata nafasi ya kufanya mazungumzo na mwenyeji wake Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu.

Page 20 of 125





