Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki leo tarehe 11/07/2021 ameongoza Ibada ya Jumapili iliyokuwa na tendo la kuwabariki vijana wa kipaimara katika Usharika wa Makorora Jimbo la Pwani. Liturgia iliongozwa na Mkuu wa Jimbo la Pwani Mch Thadeus A. Ketto.

Happy Saba Saba Day! 2021