Naye atafuta kila chozi katika macho yao,wala mauti haitakuwepo tena,wala kilio,wala maumivu hayatakuwepo tena, kwa kuwa mambo ya kwanza , yamekwisha kupita UFUNUO 21:4.

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania  Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Inatangaza Nafasi  moja ya Kazi ya KATIBU WA AFYA WA DAYOSISI.

Askofu wa KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Dkt. Msafiri Joseph Mbilu leo tarehe 26/09/2021, amejumuika na Washarika wa Usharika wa Bumbuli Jimbo la Kusini katika Ibada ya Jumapili, Ibada hiyo ilikuwa na matukio mbalimbali.