Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Halmashauri Kuu ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) kilichofanyika  tarehe 29 Januari 2026 katika Ukumbi Mdogo wa Mikutano, Utondolo – Lushoto. Kikao hicho kimewakutanisha wajumbe wa Kamati ya Utendaji kwa ajili ya kujadili na kufanya maamuzi muhimu yanayohusu uendeshaji na maendeleo ya D

ayosisi.