Uncategorised
- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewataka Wakristo kuendelea kukemea vikali vitendo vya ukatili na viashiria vya mapenzi ya jinsia moja katika jamii kwani huo ndio msimamo wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, na Kanisa kwa ujumla.
Askofu Mch Dkt. Mbilu ametoa wito huo wakati akihubiri katika Ibada ya Jumapili ya Pasaka iliyofanyika Kanisa Kuu Lushoto, ambapo amesema kuwa msimamo wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki na Afrika kwa ujumla haliungi mkono ndoa wala mapenzi ya jinsia moja.
- Details

Sehemu ya salamu za Pasaka za Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu
Nawasalimu katika jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo!
“Lakini sasa Kristo amefufuka katika wafu, limbiko lao waliolala” 1 Wakorintho 15:20.
- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amefungua rasmi Mkutano Mkuu wa 4 baada ya Jubilee ya miaka 125 ya Injili KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, leo tarehe 30/03/2023 katika ukumbi wa mikutano wa Benjamin William Mkapa Auditorium KOTETI Magamba.
- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amempongeza Mch. Happiness Diu kwa kuchaguliwa kwenye Mkutano Mkuu wa UEM Afrika kuwa mjumbe wa Bodi ya UEM kwa kanda ya Afrika nzima.
Page 56 of 124

