On Wednesday, March 22,2023 the UEM Africa Reginal Assembly was officially opened. The opening service was held at ELCT-ECD Azania Front Cathedral led by Bishop Dr Alex Gehaz Malasusa and Rev Joseph Mlaki. The sermon was given by the UEM Chairman of Africa Reginal Board and Vice Moderator Bishop Rev Dr Mothusi Letlhage.

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewasihi wahasibu na watunzahazina wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kuwa waaminifu katika utendaji wao wa kazi na kuimarisha mifumo mbalimbali ya fedha ili kuwezesha uhifadhi wa taarifa za fedha kwa ufasaha zaidi.

Watumishi wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki wametembelea hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro pamoja na kufanya Uinjilishaji  KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Kati Usharika wa Engarenarok.

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Dkt Msafiri Joseph Mbilu amewataka Wachungaji na Mashemasi wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, kuja na mpango mkakati wa kutoa Elimu ya Kikristo mashuleni ili kuwafanya wanafuzi  wamjue  Mungu ili wawe na amani na ndipo mema yatakapowajia.