Uncategorised
- Details

- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt Msafiri Joseph Mbilu, amesema kuwa mwamko wa elimu katika Shule ya Sekondari Lwandai pamoja na Bangala Lutheran Junior Seminary ambazo zote zinamilikiwa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, umeongezeka zaidi ukilinganisha na hali ilivyokuwa hapo awali na kuwaomba wazazi na walezi kupeleka watoto wao katika Shule hiyo.
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, akiongoza Kikao cha Bodi ya Taasisi ya Elimu ya Kolowa Technical Training Institute (KOTETI),kilichofanyika Makao Makuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Lushoto Tanga tarehe 17/10/2024 ambacho kilijumuisha wadhamini wa mali za KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.


- Details

Page 17 of 125

