Uncategorised
- Details

Leo tarehe 16 Oktoba 2021 kumefanyika mahafali ya 32 ya kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Lwandai inayomilikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, ambapo wanafunzi 41 (wavulana 23 na wasichana 18 ) wamehitimu. Mgeni rasmi katika mahafali hayo alikuwa ni Mhasham Askofu, Dkt Msafiri Joseph Mbilu aliyewakilishwa na Msaidizi wa Askofu , Mchungaji Michael Mlondakweli Kanju. Mahafali hayo yalifana sana yakipambwa na vishirikisho mbalimbali toka kwa wahitimu na wanafunzi wengine.

- Details

Kumbukizi ya miaka 22 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwl. Julius Kambarage Nyerere, 1922-1999 (Nyerere Day)
- Details

Leo tarehe 10/10/2021 Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Dkt Msafiri Joseph Mbilu ameongoza Ibada ya sikukuu ya mavuno, katika Jimbo la Pwani, Usharika wa Kana.

- Details

Naye atafuta kila chozi katika macho yao,wala mauti haitakuwepo tena,wala kilio,wala maumivu hayatakuwepo tena, kwa kuwa mambo ya kwanza , yamekwisha kupita UFUNUO 21:4.
Page 102 of 124

