ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • Askofu Dkt. Mbilu  akutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa juu wa UEM

    Askofu Dkt. Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa juu wa UEM

    #HABARI: Juni 23, 2025, Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Joseph Mbilu am...
  • Mwendelezo wa Ziara ya kikazi ya Askofu  Dkt. Msafiri  Mbilu, nchini Ujerumani

    Mwendelezo wa Ziara ya kikazi ya Askofu Dkt. Msafiri Mbilu, nchini Ujerumani

    Juni 17, 2025 Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ameendelea na ziara yake nchini Ujerumani na am...
  • Ziara ya kikazi ya Askofu  Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, nchini Ujerumani

    Ziara ya kikazi ya Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, nchini Ujerumani

    KATIKA PICHA NI: Ziara ya Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) Dkt. Msafiri Jo...
  • Dean Mteule Mntangi asisitiza haki na ustawi wa watu wenye ulemavu kupewa kipaumbele katika jamii

    Dean Mteule Mntangi asisitiza haki na ustawi wa watu wenye ulemavu kupewa kipaumbele katika jamii

    Viongozi mbalimbali wa serikali, dini pamoja na wataalam wa Elimu ya watu maalum wenye ulemavu wamet...
  • Opening Ceremony  Disability Sensitization Workshop

    Opening Ceremony Disability Sensitization Workshop

    CLICK THE LINK BELOW Opening Ceremony Disability Sensitization Workshop

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Mch. Frank Richard Mntangi Dean Mteule KKKT-DKMs

  • Print
Details
Published: 04 April 2025

Wajumbe 217 kati ya 246 wa Mkutano Mkuu wa tano (5) baada ya Jubilee ya miaka 125 ya Injili KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) sawa asilimia 88.5% wamemuidhinisha Mchungaji Frank Richard Mntangi kuwa Msaidizi wa Askofu (Dean Mteule) wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.

Mch. Frank Mntangi ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Jimbo la Pwani, ameteuliwa kuhudumu nafasi hiyo ya msaidizi wa Askofu ambayo kwa sasa inaongozwa na Mch. Michael Mlondakweli Kanju anayestaafu kwa mujibu wa sheria za utumishi za KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.

Hits: 2823

Read more ...

Askofu Dkt. Mbilu ziarani Shule ya Sekondari Lwandai

  • Print
Details
Published: 13 March 2025
 
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amesema uongozi wa Dayosisi unatambua mchango mkubwa wa walimu pamoja na watumishi waliopewa dhamana ya kutumika katika Taasisi za Elimu ndani ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.
Hits: 3305

Read more ...

Pumzika kwa Amani Mama Askofu Elfriede Sebastian Kolowa

  • Print
Details
Published: 06 March 2025

KATIKA PICHA:Mazishi ya Mama Askofu Elfriede Sebastian Kolowa iliyofanyika KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,Usharika wa Kanisa Kuu Lushoto leo tarehe 06/03/2025. Ibada hii iliongozwa na Mkuu wa KKKT Baba Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa.Marehemu, Bibi Elfriede Sebastian Kolowa alizaliwa tarehe 30 mwezi Juni mwaka 1934 huko Bumbuli Salem Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga akiwa Mtoto wa 6 wa Mwalimu Emmanuel Chamshama na Bibi Sarah Shemshi.Mwili mwili wake umepumzishwa leo tarehe 06/03/2025 katika makaburi yaliyopo katika eneo la Kanisa Kuu Lushoto.Sehemu ya historia ya Bibi Elfriede Sebastian Kolowa inaeleza kuwa.

Hits: 3327

Read more ...

Tangazo la kazi Mratibu wa Kituo cha Maendeleo ya Mtoto

  • Print
Details
Published: 28 February 2025

Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya Kilutheri yaliungana na kuunda Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania . Leo hii KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) yenye Makao Makuu Wilayani Lushoto Mkoani Tanga ni miongoni mwa Dayosisi 28 za KKKT. Dayosisi inaitwa hivyo kwakuwa inapatikana Kaskazini Mashariki mwa Tanzania katika Mkoa wa Tanga. Kwahiyo KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) ni taasisi ya kidini iliyosajiliwa tarehe 19 Juni 1963 na Makao yake Makuu yapo Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga. Dhamira ya KKKT-DKMs ni kufundisha na kuhubiri neno la Mungu na kutoa huduma nzuri za kiroho, kimwili, kiakili, kiuchumi na kijamii kwa watu wote. Taasisi hii inatoa tangazo la kazi kwa nafasi moja  ya MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA (PROJECT COORDINATOR) kwa vijana wote  (Wakristo) 

NAFASI NA WAJIBU WA MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA (PROJECT COORDINATOR).

1.1 CHILD AND YOUTH DEVELOPMENT CENTER COORDINATOR (CYDC)- MRATIBU WA KITUO CHA MAENDELEO YA MTOTO NA KIJANA.

Hits: 3263

Read more ...

  1. SUA NA KOTETI zaingia makubaliano kuboresha na kukuza taaluma na tafiti katika vyuo hivyo
  2. Mkutano wa Maaskofu wote wa CCT na TEC
  3. Wakristo watakiwa kutenga muda kutulia Nyumbani mwa Bwana
  4. Pumzika kwa Amani Bibi. Elise David Ngome

Page 4 of 129

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10

Back to Top

© 2025 ELCT North Eastern Diocese