ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • Askofu Dkt. Mbilu Aongoza Kikao Kazi cha Wachungaji

    Askofu Dkt. Mbilu Aongoza Kikao Kazi cha Wachungaji

    Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ameongoza kikao kazi cha W...
  • TUZO YA PONGEZI KWA KUCHANGIA DENI LA DAYOSISI

    TUZO YA PONGEZI KWA KUCHANGIA DENI LA DAYOSISI

  • Heri ya Mwaka Mpya 2026

    Heri ya Mwaka Mpya 2026

  • Askofu Dkt. Mbilu  Akabidhi Gari 1 kwa Kituo Cha Lutindi Mental Hospital

    Askofu Dkt. Mbilu Akabidhi Gari 1 kwa Kituo Cha Lutindi Mental Hospital

  • ELCT-NED FAMILY BONANZA 2025

    ELCT-NED FAMILY BONANZA 2025

    ELCT-NED FAMILY BONANZA, lililoratibiwa na Kurugenzi ya Uchumi, Mipango na Maendeleo Kanisa la Kiinj...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Pumzika kwa Amani Mchungaji Yohana Vicent Titu

  • Print
Details
Published: 26 September 2025

Hits: 2937

TANGAZO LA NAFASI YA KAZI MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA KKKT – MKATA – TZ1211

  • Print
Details
Published: 22 August 2025

Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya Kilutheri yaliungana na kuunda Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania . Leo hii KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) yenye Makao Makuu Wilayani Lushoto Mkoani Tanga ni miongoni mwa Dayosisi 28 za KKKT. Dayosisi inaitwa hivyo kwakuwa inapatikana Kaskazini Mashariki mwa Tanzania katika Mkoa wa Tanga. Kwahiyo KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) ni taasisi ya kidini iliyosajiliwa tarehe 19 Juni 1963 na Makao yake Makuu yapo Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga. Dhamira ya KKKT-DKMs ni kufundisha na kuhubiri neno la Mungu na kutoa huduma nzuri za kiroho, kimwili, kiakili, kiuchumi na kijamii kwa watu wote. Taasisi hii KUPITIA COMPASSION INATANGAZA NAFASI MOJA YA MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA (CHILD AND YOUTH DEVELOPMENT CENTER COORDINATOR (CYDC).

Utangulizi Mratibu wa Kituo cha Maendeleo ya Mtoto na Kijana ni mwajiriwa wa Kanisa na atatumika katika Kituo cha Maendeleo ya Mtoto na Kijana (KKKT – MKATA – TZ1211) kilichopo Sindeni – Wilaya ya Handeni.

 1.1 MAJUKUMU

  • Kuandaa Mpango wa mwaka wa Mshirika-Mwenza wa Kituo cha Maendeleo ya Mtoto na Kijana kwa kushirikiana na wadau wote na kuwasilisha kwa Kamati ya Huduma ya Mtoto kwa uthibitisho na kuidhinishwa na uongozi wa Kanisa.
  • Kuwasilisha taarifa ya kimaandishi ya Utendaji na Maendeleo ya Kituo kwa amati, Uongozi wa Kanisa na Huduma ya Compassion International Tanzania kama itakavyo takiwa kwa pande zote husika.
  • Kuhakikisha kuwa taarifa zote za fedha na Watoto zinatunzwa vizuri na kuhuishwa kila mara zinapohitajika.
  • Kushiriki katika zoezi la Usaili wa kuwapata watendakazi wengine wote wa Kituo kwa kutoa maoni ya kitaalamu kuhusu nafasi hizo.
  • Kuhakikisha mazingira ya walengwa kituoni ni salama kwao kujifunza na kushiriki katika programu zote za Kituo.
  • Kuhamasisha upatikanaji wa Raslimali za ndani kwa ajili ya Miundombinu inayohitajika kwa walengwa kujifunza.
  • Hits: 4261

    Read more ...

Tangazo la kazi Mratibu wa Kituo cha Maendeleo ya Mtoto TZ1211 MKATA-HANDENI

  • Print
Details
Published: 15 August 2025

Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya Kilutheri yaliungana na kuunda Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania . Leo hii KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) yenye Makao Makuu Wilayani Lushoto Mkoani Tanga ni miongoni mwa Dayosisi 28 za KKKT. Dayosisi inaitwa hivyo kwakuwa inapatikana Kaskazini Mashariki mwa Tanzania katika Mkoa wa Tanga. Kwahiyo KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) ni taasisi ya kidini iliyosajiliwa tarehe 19 Juni 1963 na Makao yake Makuu yapo Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga. Dhamira ya KKKT-DKMs ni kufundisha na kuhubiri neno la Mungu na kutoa huduma nzuri za kiroho, kimwili, kiakili, kiuchumi na kijamii kwa watu wote. Taasisi hii inatoa tangazo la kazi kwa nafasi moja  ya MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA  kwa vijana wote  (Wakristo) 

NAFASI NA WAJIBU WA MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA 

Hits: 5063

Read more ...

Tangazo la Ajira Mtendakazi wa Huduma ya Kunusuru Maisha ya Mama na Mtoto

  • Print
Details
Published: 14 August 2025

Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya Kilutheri yaliungana na kuunda Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania . Leo hii KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) yenye Makao Makuu Wilayani Lushoto Mkoani Tanga ni miongoni mwa Dayosisi 28 za KKKT. Dayosisi inaitwa hivyo kwakuwa inapatikana Kaskazini Mashariki mwa Tanzania katika Mkoa wa Tanga. Kwahiyo KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) ni taasisi ya kidini iliyosajiliwa tarehe 19 Juni 1963 na Makao yake Makuu yapo Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga. Dhamira ya KKKT-DKMs ni kufundisha na kuhubiri neno la Mungu na kutoa huduma nzuri za kiroho, kimwili, kiakili, kiuchumi na kijamii kwa watu wote. Taasisi hii KUPITIA COMPASSION  inatangaza nafasi moja ya kazi ya Mtendakazi wa Huduma ya Kunusuru Maisha ya Mama na Mtoto.

SIFA ZA MTENDAKAZI WA HUDUMA YA KUNUSURU MAISHA YA MAMA NA MTOTO

NAFASI: Mtenda kazi katika Huduma ya Kunusuru Maisha ya mama na mtoto (HBI).

 MAHALI: Kituo cha huduma ya mtoto na kijana.

KUWAJIIBIKA: Atawajibika kwa Mratibu wa kituo cha huduma ya maendeleo ya mtoto na kijana.

Muhtasari wa majukumu ya kazi kwa mtendakazi

Mtendakazi wa huduma ya afua ya kunusuru maisha ya mama na mtoto kwa huduma za nyumbani (Survival & Sponsorship Home Based) atahusika moja kwa moja na akina mama na watoto watakaonufaika na huduma hii. Atatumia asilimia 80% ya muda wake wa kazi kwa kuwatembelea akina mama hao nyumbani kwao na kutoa mafunzo kwa kutumia mitaala mbalimbali ya  afua hii. Yeye ndiye atawajibika kutekeleza afua akishirikiana na watendakazi wengine katika kuhakikisha masuala yote katika program ya afua ya mama na mtoto yanatekelezwa. Ni jukumu la mtendakazi kufuatilia mwenendo wa namna  malengo ya afua ya mama na mtoto yatakavyosababisha tofauti kwa walengwa katika maisha ya kila siku Mtendakazi atafuatilia na kuhakikisha upimaji wa ukuaji wa mtoto unafanyika kila mwezi kwa utaratibu  uliowekwa na kuingiza taarifa kwenye mfumo wa mawasiliano wa Connect.  Awe ni mfano wa kuigwa katika ukristo wake, anayeheshimu watu na mwenye kutunza siri za watu.

Hits: 4000

Read more ...

  1. Askofu na Vijana 2025
  2. Askofu Dkt. Mbilu kila Makristo anaowajibu wa Kushuhudia Nuru na Upendo wa Kweli wa Yesu Kristo
  3. Tangazo la nafasi ya kazi Irente Farm
  4. Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Halmashauri Kuu ya KKKT-DKMs

Page 4 of 134

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese