ELCT North Eastern Diocese
Ibada ya Kipaimara Usharika wa Muheza , Youths Confirmation at Muheza Lutheran Parish
- Details

HABARI KWA UFUPI:Ibada ya Jumapili Sikukuu ya Watakatifu iliyoongozwa na neno kuu lisemalo sisi ni wenyeji wa Mbinguni, Ibada imefanyika leo tarehe 03/11/2024 katika Jimbo la Tambarare Usharika wa Muheza na kuongozwa na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu.
- Hits: 2055
Askofu Dkt. Mbilu:- jiungeni na Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS)
- Details

Tarehe 02/11/2024 Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, alipatanafasi ya kuitembelea SACCOS ya Tumaini KKKT Handeni Savings and credit co-operative Society Ltd, iliyopo katika Jimbo la Magharibi Usharika wa Handeni kwa lengo na kuona namna SACCOS hiyo inavyoendeshwa.
- Hits: 1918
Siku ya Kukumbuka Matengenezo ya Kanisa (Reformation)
- Details
Ikiwa leo tarehe 27/10/2024, katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, ni Siku ya Kukumbuka Matengenezo ya Kanisa (Reformation) Askofu Dkt. Mbilu amesema kuwa Kanisa litaendelea kukemea mafundisho potofu yaliyotanda katika ulimwengu na kuendelea kusimama katika msingi wa kuihubiri kweli ya Kristo.
- Hits: 2268
Wanawake wajengewa uwezo kujikwamua kiuchumi
- Details

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amewasihi Wanawake kuchangamkia fursa mbalimbali zinazojitokeza katika jamii na Kanisa kwaajili ya kujikwamua kiuchumi ili kuondokana na umasikini pamoja na utegemezi.
- Hits: 2125
Page 4 of 124