ELCT North Eastern Diocese
Askofu Dkt. Mbilu azindua mwaka wa Wanaumi KKKT-DKMs
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, (KKKT-DKMs) Mch Dkt. Msafiri Josephu Mbilu, amewataka Wanaume wa KKKT- Dayosisi ya Kasikazini Mashariki kujitoa katika kukamilisha mipango na malengo waliyojiwekea katika mwaka wao huku akiwataka kuwa mstari wa mbele katika kusimamia maadili mema ikiwa ni pamoja na kukemea ndoa za jinsia moja, huku akiwataka wanaume wa Dayosisi hiyo kijitoa na kuhudhuria katika Ibada na kushiriki katika maswala mazima ya uimbaji wa kwaya.
- Hits: 1936
Hakuna Mungu wa eneo moja bali Mungu ni wawote Askofu Mbilu.
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Dkt Msafiri Joseph Mbilu, leo tarehe 16/03/2024, ameongoza Ibada ya ufunguzi wa Usharika mpya Mteule wa Saunyi uliopo katika Jimbo la Magharibi, Ibada iliyoambatana na tendo la kuwabariki vijana wa Kipaimara 201 pamoja na kufungua nyumba ya Mtumishi.
- Hits: 1214
Ziara ya kikazi ya Baba Askofu Dkt. Mbilu, Usharika wa St. Marien Minden nchini Ujerumani
- Details
- Hits: 1183
Marafiki wa Jimbo la Tambarare Vlotho Ujerumani wakutana na Askofu Dkt.Mbilu.
- Details
Mwendelezo wa Ziara ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, tarehe 08/03/2024 amefanya ziara katika Jimbo la Vlotho nchini Ujerumani lenye urafiki na Jimbo la Tambarare la KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. KATIKA PICHA, ni miongoni mwa Wajumbe wa Kamati ya Uhusiano chini ya Mwenyekiti wao Mch. Markus Freitag.(wa kwanza kutoka kulia).
Mwenyekiti wa Undugu kati ya Jimbo Vlotho nchini Ujerumani na KKKT-DKMs Jimbo la Tambarare ,Mch. Markus Freitag (wa kwanza kutoka kushoto), mwenzi wa Askofu Dkt. Mbilu Mwl. Marry Jally (wa pili kutoka Kushoto), Askofu Dkt. Msafiri Mbilu (wa tatu kutoka Kushoto) pamoja na mwezi Mwenyekiti wa Undugu Mch. Markus Freitag, (wa nne kutoka Kushoto).
- Hits: 1292
Page 4 of 107