ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Askofu Dkt. Mbilu Akabidhi Gari 1 kwa Kituo Cha Lutindi Mental Hospital

  • Print
Details
Published: 16 December 2025

Hits: 3961

Read more ...

ELCT-NED FAMILY BONANZA 2025

  • Print
Details
Published: 15 December 2025

ELCT-NED FAMILY BONANZA, lililoratibiwa na Kurugenzi ya Uchumi, Mipango na Maendeleo Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), limefanyika tarehe 13 Desemba 2025 katika Hoteli ya Mbuyukenda, jijini Tanga, likiwakutanisha waumini, wadau mbalimbali pamoja na familia zao kutoka maeneo mbalimbali.

Hits: 4225

Read more ...

Askofu Dkt. Mbilu Atamatisha Kalenda ya Matukio 2025, Awashukuru Wanadayosisi kwa Ushirikiano wa Kipekee

  • Print
Details
Published: 07 December 2025

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amewashukuru kwa dhati wanadayosisi wote kwa namna wanavyoendelea kujitoa katika ulipaji wa Deni la Dayosisi, akisisitiza kuwa hatua hiyo imekuwa ikitoa matumaini makubwa katika kufanikisha mpango wa kulimaliza deni hilo.

Hits: 3970

Read more ...

Kikao cha Halmashauri ya Kurugenzi ya Huduma za Jamii KKKT-DKMs

  • Print
Details
Published: 05 December 2025

 

Kikao cha Halmashauri ya Kurugenzi ya Huduma za Jamii – KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kimefanyika tarehe 05 Desemba 2025 katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Utondolo, Lushoto.

Kikao hiki kimeonesha kwa namna ya pekee jinsi Kurugenzi hii inavyotekeleza majukumu yake kwa ufanisi na kusimamia kwa weledi vituo mbalimbali vya huduma ambavyo vimeendelea kuleta manufaa makubwa kwa Kanisa na kwa jamii ya Watanzania kwa ujumla.

Katika kikao hicho, wajumbe walijadili kwa kina mikakati ya kuboresha na kukuza huduma katika vituo vyote vilivyo chini ya Dayosisi. Mkurugenzi wa Huduma za Jamii, Mwl. Afizai Vuliva, aliwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Kurugenzi kwa lengo la kupokea ushauri na maoni ya wajumbe. Taarifa hiyo imeonesha hatua kubwa zilizopigwa, changamoto zilizopo, pamoja na maeneo yanayohitaji kuimarishwa ili kuongeza tija na ubora wa huduma kwa Kanisa na jamii kwa ujumla. Kurugenzi ya Huduma za Jamii inasimamia na kuratibu idara muhimu zinazogusa maisha ya Kanisa na Jamii moja kwa moja, zikiwemo:

  • Idara ya Elimu
  • Idara ya Afya
  • Idara ya Jinsia na Watoto
  • Diakonia (Huduma za Uangalizi na Uchangiaji kwa Jamii)
  • Idara ya Vijana na UKWATA

Kupitia usimamizi makini wa Kurugenzi hii, vituo hivi vya huduma vya Dayosisi vimeendelea kuimarika na kutoa huduma zenye kiwango bora, hivyo kuifanya KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kuwa mfano wa kuigwa katika utoaji na usimamizi wa huduma za kijamii.

Tufuatilie kwenye mitandao yetu ya kijamii

INSTAGRAM - / elctned

FACEBOOK ACCOUNT North Eastern Diocese

FACEBOOK PAGE - ELCT-North Eastern Diocese

YOUTUBE - / KKKT DKMS Online TV

WEBSITE: www.elctned.org

KWA MAONI NA USHAURI:

Simu : +255 743 399 798

 

Hits: 4039
  1. Uongozi Bora: Askofu Dkt. Mbilu Aweka Mkazo kwenye Stahiki za Watumishi wa Dayosisi
  2. Mtheolojia Steven Emanuel Mhangwa abarikiwa kuwa Mchungaji
  3. KATIKA PICHA NI MATUKIO YA IBADA YA KUBARIKIWA WACHUNGAJI KKKT-DKMs
  4. Mwendelezo wa Ziara ya Askofu Johan Tyrberg

Page 4 of 137

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese