ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • Sehemu ya taarifa,picha za matukio na maelezo  ziara ya Baba Askofu Dkt. Msafiri  Mbilu nchini  Ujerumani.

    Sehemu ya taarifa,picha za matukio na maelezo  ziara ya Baba Askofu Dkt. Msafiri  Mbilu nchini  Ujerumani.

    Tarehe 21/09/2023 akiwa nchini Ujerumani Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu alialikwa kwenye kiwa...
  • Tuungane kwa pamoja kulikabili deni la Dayosisi, Dean Michael Kanju.

    Tuungane kwa pamoja kulikabili deni la Dayosisi, Dean Michael Kanju.

    Msaidizi wa Askofu, KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju amewashukuru...
  • KATIKA PICHA, Mkutano Mkuu wa Fungamano la Makanisa ya Kilutheri Duniani uliomaliziki hivi karibuni.

    KATIKA PICHA, Mkutano Mkuu wa Fungamano la Makanisa ya Kilutheri Duniani uliomaliziki hivi karibuni.

    Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akiwa na Cardinal Kurt Koch, ambaye alipata nafasi ya kufika k...
  • Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kabuku, Jimbo Teule la Magharibi

    Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kabuku, Jimbo Teule la Magharibi

    Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju amewaasa Wash...
  • MATUKIO KATIKA PICHA- Kutoka Usharika wa Źory nchini-Poland

    MATUKIO KATIKA PICHA- Kutoka Usharika wa Źory nchini-Poland

    Matukioa katika picha Ibada ya Jumapili ya tarehe 17/09/2023, katika Usharika wa Źory nchini Poland,...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Askofu Dkt. Mbilu apokea ugeni kutoka Vyuo vitano ,vya Muhimbili(MUHAS),KCMC/KCMU,Chuo cha Kenyata

  • Print
Details
Published: 07 June 2023

 

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni maalum kutoka Vyuo vikuu vitano ambavyo ni, Muhimbili (MUHAS), KCMC/KCMU,Chuo cha Kenyata kilichopo Kenya,Chuo cha Protoria cha Africa ya Kusini na Chuo kikuu cha Leibniz kilichopo Hannover Ujerumani, uliokuja kwa lengo la kutembelea vituo mbalimbali vinavyomilikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ili kuanzisha umoja wa Vyuo hivyo na Taasisi ya Kolowa Technical Training Institute (KOTETI) kwa madhumuni ya kuanzisha kozi ya lugha na mawasiliano ( Speech and language therapy).

Hits: 1891

Read more ...

Askofu Dkt. Mbilu awataka wakristo kukemea matendo maovu  yanayojitokeza katika jamii

  • Print
Details
Published: 28 May 2023

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewakumbusha Wakristo kukemea matendo maovu ambayo yanajitokeza katika jamii hususani mmomonyoko wa maadili katika jamii ikiwemo suala la mapenzi ya jinsia moja.

Hits: 1966

Read more ...

Pumzika kwa Amani Mwalimu Wahaki Tawi Vesso

  • Print
Details
Published: 27 May 2023

Ufunuo 14:13 “Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao”.

Picha za matukio mbalimbali ya Ibada ya Mazishi ya Mwalimu Wahaki Tawi Vesso, iliyofanyika leo tarehe 27/05/2023 katika Jimbo la Pwani Usharika wa Kana, Ibada hii iliongozwa na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, mwili wa Mwalimu Wahaki Tawi Vesso umezikwa katika makaburi yaliyopo Gofu-Goseji-Tanga,

Hits: 2150

Read more ...

Tangazo la nafasi ya kazi Daktari daraja la 2

  • Print
Details
Published: 23 May 2023

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI..

UTANGULIZI

Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya Kilutheri yaliungana na kuunda Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT). Leo hii KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) ni miongoni mwa Dayosisi 27 ndani ya KKKT. Dayosisi inaitwa hivyo kwakuwa inapatikana Kaskazini Mashariki mwa Tanzania katika Mkoa wa Tanga. Kwahiyo KKKT-DKMs ni taasisi ya kidini iliyosajiliwa tarehe 19 Juni 1963 na Makao yake Makuu yapo Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga. Dhamira ya KKKT-DKMs ni kufundisha na kuhubiri neno la Mungu na kutoa huduma nzuri kiroho, kimwili, kiakili, kiuchumi na kijamii kwa watu. Taasisi hii inatoa tangazo la kazi kwa nafasi ifuatayo:

Sifa za waombaji ni kama ifuatavyo;

  1. DAKTARI DARAJA LA II (NAFASI 2)

Waombaji wawe na Shahada ya Udaktari wa binadamu kutoka Vyuo vikuu/ Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali. Waombaji wawe wamemaliza mafunzo ya kazi “internship” ya muda usiopungua mwaka mmoja na kupata usajili kutoka Baraza la Madaktari Tanganyika (Medical Council of Tanganyika)

Hits: 2277

Read more ...

  1. KOTETI YAANZA UDAHILI KWA MWAKA WA MASOMO 2023-2024 KOZI YA FAMASIA (Pharmacy).
  2. Askofu Dkt. Mbilu azindua Ushirika wa Wanafunzi wa Kikristo wa Vyuo vikuu na vya kati (USCF).
  3. ASKOFU DKT. MBILU: Tujifunze kuomba kwa usahihi.
  4. Mkutano wa Fungamano la Makanisa ya Kilutheri Duniani,kanda ya Afrika

Page 7 of 91

  • 2
  • 3
  • 4
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • ...
  • 11

Back to Top

© 2023 ELCT North Eastern Diocese