ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • Askofu Dkt. Msafiri  Mbilu, Ziarani Nchini Ujerumani

    Askofu Dkt. Msafiri Mbilu, Ziarani Nchini Ujerumani

    Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Joseph Mbilu yupo katika ziara ya kikaz...
  • Askofu Dkt. Mbilu, kuhusu zoezi linaloendelea la kuchukuwa maoni juu ya Katiba  Mpya ya KKKT

    Askofu Dkt. Mbilu, kuhusu zoezi linaloendelea la kuchukuwa maoni juu ya Katiba Mpya ya KKKT

    Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amepongeza ka...
  • Dean Mstaafu Michael Kanju akabidhi rasmi  majukumu ya ofisi ya Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs  kwa Dean Mteule Frank Mntangi.

    Dean Mstaafu Michael Kanju akabidhi rasmi majukumu ya ofisi ya Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs kwa Dean Mteule Frank Mntangi.

    Dean Mteule Frank Richard Mntangi, ametambulishwa rasmi katika Makao Makuu ya Ofisi ya KKKT-Dayosisi...
  • KKKT Marathon June 21,2025, Kimbia kwa Moyo, Saidia kwa Upendo.

    KKKT Marathon June 21,2025, Kimbia kwa Moyo, Saidia kwa Upendo.

  • Mch. Frank Richard Mntangi Dean Mteule KKKT-DKMs

    Mch. Frank Richard Mntangi Dean Mteule KKKT-DKMs

    Wajumbe 217 kati ya 246 wa Mkutano Mkuu wa tano (5) baada ya Jubilee ya miaka 125 ya Injili KKKT-Day...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Siku ya Kukumbuka Matengenezo ya Kanisa (Reformation)

  • Print
Details
Published: 27 October 2024

Ikiwa leo tarehe 27/10/2024, katika  Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, ni Siku ya Kukumbuka Matengenezo ya Kanisa (Reformation) Askofu Dkt. Mbilu amesema kuwa Kanisa litaendelea kukemea mafundisho potofu yaliyotanda katika ulimwengu na kuendelea  kusimama katika msingi wa kuihubiri kweli ya Kristo.

Hits: 3576

Read more ...

Wanawake wajengewa uwezo kujikwamua kiuchumi

  • Print
Details
Published: 23 October 2024
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amewasihi Wanawake kuchangamkia fursa mbalimbali zinazojitokeza katika jamii na Kanisa kwaajili ya kujikwamua kiuchumi ili kuondokana na umasikini pamoja na utegemezi.
Hits: 3275

Read more ...

Askofu Dkt.Mbilu awataka wazazi na walezi kuwapeleka Watoto wao Shule ya Sekondari Lwandai

  • Print
Details
Published: 19 October 2024

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt Msafiri Joseph Mbilu, amesema kuwa mwamko wa elimu katika Shule ya Sekondari Lwandai pamoja na Bangala Lutheran Junior Seminary ambazo zote zinamilikiwa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, umeongezeka zaidi ukilinganisha na hali ilivyokuwa hapo awali na kuwaomba wazazi na walezi kupeleka watoto wao katika Shule hiyo.

Hits: 3230

Read more ...

ASKOFU DKT.MBILU AONGOZA KIKAO CHA BODI YA KOTETI NA WADHAMINI

  • Print
Details
Published: 17 October 2024

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, akiongoza Kikao cha Bodi ya Taasisi ya Elimu ya Kolowa Technical Training Institute (KOTETI),kilichofanyika Makao Makuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Lushoto Tanga tarehe 17/10/2024 ambacho kilijumuisha wadhamini wa mali za KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.

 

Hits: 3157

Read more ...

  1. Kamati ya amani Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga kuhamasisha jamii kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
  2. Askofu Dkt. Mbilu atoa wito kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi katika vituo vya kujiandikisha
  3. Ibada ya Kipaimara Usharika wa Bumbuli , Youths Confirmation at Bumbuli Lutheran Parish
  4. Ibada ya Kipaimara Usharika wa Mombo , Youths Confirmation at Mombo Lutheran Parish

Page 7 of 127

  • 2
  • 3
  • 4
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • ...
  • 11

Back to Top

© 2025 ELCT North Eastern Diocese