ELCT North Eastern Diocese
Siku ya Kukumbuka Matengenezo ya Kanisa (Reformation)
- Details
Ikiwa leo tarehe 27/10/2024, katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, ni Siku ya Kukumbuka Matengenezo ya Kanisa (Reformation) Askofu Dkt. Mbilu amesema kuwa Kanisa litaendelea kukemea mafundisho potofu yaliyotanda katika ulimwengu na kuendelea kusimama katika msingi wa kuihubiri kweli ya Kristo.
- Hits: 3576
Wanawake wajengewa uwezo kujikwamua kiuchumi
- Details

- Hits: 3275
Askofu Dkt.Mbilu awataka wazazi na walezi kuwapeleka Watoto wao Shule ya Sekondari Lwandai
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt Msafiri Joseph Mbilu, amesema kuwa mwamko wa elimu katika Shule ya Sekondari Lwandai pamoja na Bangala Lutheran Junior Seminary ambazo zote zinamilikiwa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, umeongezeka zaidi ukilinganisha na hali ilivyokuwa hapo awali na kuwaomba wazazi na walezi kupeleka watoto wao katika Shule hiyo.
- Hits: 3230
ASKOFU DKT.MBILU AONGOZA KIKAO CHA BODI YA KOTETI NA WADHAMINI
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, akiongoza Kikao cha Bodi ya Taasisi ya Elimu ya Kolowa Technical Training Institute (KOTETI),kilichofanyika Makao Makuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Lushoto Tanga tarehe 17/10/2024 ambacho kilijumuisha wadhamini wa mali za KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.
- Hits: 3157
Page 7 of 127