ELCT North Eastern Diocese
Ziara ya kikazi ya Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, nchini Ujerumani
- Details
KATIKA PICHA NI: Ziara ya Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) Dkt. Msafiri Joseph Mbilu,akiwa inchini Ujerumani. Katika ishara ya uhusiano thabiti na wa muda mrefu kati ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Mashariki na Kanisa la Westphalia la nchini Ujerumani, Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu alikuwa miongoni mwa viongozi wa Ibada kubwa ya kumsimika Mkuu mpya wa Kanisa la Ujerumani, Bishop Dkt. Adelheid Tuck-Schröder.
- Hits: 4851
Dean Mteule Mntangi asisitiza haki na ustawi wa watu wenye ulemavu kupewa kipaumbele katika jamii
- Details

Viongozi mbalimbali wa serikali, dini pamoja na wataalam wa Elimu ya watu maalum wenye ulemavu wametakiwa kusimamia na kuhimiza haki na usawa wa kielimu kwa kushirikiana na jamii ili kuondoa dhana potofu katika jamii kuwa watu wenye ulemavu hawana uwezo wa kufanya jambo lolote katika jamii kwasababu ya hali waliyonayo.
- Hits: 4846
Opening Ceremony Disability Sensitization Workshop
- Details

CLICK THE LINK BELOW
Opening Ceremony Disability Sensitization Workshop
- Hits: 5126
Ziara ya kikazi ya Askofu Dkt. Mbilu Vituo vya huduma Irente
- Details

Leo tarehe 04/06/2025 Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ametembelea Kituo cha Irente Children’s Home kwa lengo la kukagua zoezi la ukaratabati wa Miundombinu ya bweni la wanafunzi wanaosoma kozi ya Elimu ya Awali na Malezi Bora katika kituo hicho kinacho milikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.
- Hits: 4967
Page 7 of 134

