ELCT North Eastern Diocese
IBADA YA KUSTAAFU KWA HESHIMA MCH. EZEKIELI ANDREA MWARABU
- Details
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) Dkt. Msafiri Joseph Mbilu ameiomba Serikali kuongeza jitihada katika uchunguzi wanaoufanya ili kuwabaini mapema na kuwachukulia hatua za kisheria wahusika wote wa vitendo vya utekaji na mauwaji ya watu hapa nchini.

- Hits: 1849
Uzinduzi wa Jimbo jipya la Diaspora Uingereza
- Details
KATIKA PICHA. Ibada ya Uzinduzi wa Jimbo jipya la Diaspora Uingereza litakalo simamia, Uingereza, Ulaya na Marekani. Katika Ibada hii iliyofanyika Jumapili ya tarehe 22/09/2024, katika Usharika wa IMANI READING UINGEREZA, Mch.Tumaini Kallaghe, aliingizwa kazini kuliongoza Jimbo hilo.
- Hits: 2340
Ibada ya Kipaimara Usharika wa Imani , Youths Confirmation at Imani Lutheran Parish
- Details
Tarehe 21/09/2024 Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, alianza sa ziara yake ya kikazi nchini Uingereza na alipata nafasi ya kuongoza Ibada iliyokuwa na tendo la kuwabariki Vijana wa Kipaimara katika Usharika wa IMANI READING UINGEREZA. Katika Ibada hiyo jumla ya vijana watatu walibarikiwa na mmoja alibatizwa.

- Hits: 2192