ELCT North Eastern Diocese
Mtheolojia Steven Emanuel Mhangwa abarikiwa kuwa Mchungaji
- Details

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Mashariki(KKKT-DKMs), Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ameongoza Ibada ya kumbariki na kumuingiza kazini Mtheolojia Steven Emanuel Mhangwa kuwa Mchungaji, leo 22/11/2025, katika Jimbo la Pwani, Usharika wa Kange.
Awali, Mch. Steven Mhangwa alipaswa kuwa miongoni mwa watheolojia 14 waliobarikiwa kuwa Wachungaji katika Ibada ya Jumapili ya Siku ya Bwana ya 2 Kabla ya Majilio, iliyofanyika katika Usharika wa Kanisa Kuu Lushoto tarehe 16/11/2025. Hata hivyo, kutokana na sababu za kiafya, amebarikiwa leo tarehe 22/11/2025.
- Hits: 2309
KATIKA PICHA NI MATUKIO YA IBADA YA KUBARIKIWA WACHUNGAJI KKKT-DKMs
- Details
Matukio katika picha ni Ibada ya Jumapili siku ya Bwana ya 2 Kabla ya Majilio iliyofanyika KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Usharika wa Kanisa Kuu Lushoto.tarehe 16/11/2025.

Ibada hii iliongozwa na Baba Askofu Dkt. Msafiri Mbilu akishirikiana na watumishi wengine na iliambatana na tendo la Kubarikiwa watheologia 14 kuwa Wachungaji ambao ni.
- Hits: 2432
Page 3 of 134




