ELCT North Eastern Diocese
Askofu Dkt. Msafiri Mbilu, Ziarani Nchini Ujerumani
- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Joseph Mbilu yupo katika ziara ya kikazi Nchini Ujerumani ambapo ameambatana na Dean Mteule Frank Mtangi pia wamepata wasaa wa kutembelea Jimbo la Staaken kwenye Jiji la Berlin.
- Hits: 2748
Askofu Dkt. Mbilu, kuhusu zoezi linaloendelea la kuchukuwa maoni juu ya Katiba Mpya ya KKKT
- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amepongeza kazi nzuri inayofanywa na Halmashauri ya Katiba ya KKKT, juu ya zoezi linaloendelea la kuchukuwa maoni juu ya Katiba Mpya ya KKKT na kusema kuwa anaamini Katika Mpya ya KKKT, itakuwa jumuishi na italeta umoja wa kweli katika Kanisa.

- Hits: 3785
Dean Mstaafu Michael Kanju akabidhi rasmi majukumu ya ofisi ya Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs kwa Dean Mteule Frank Mntangi.
- Details
Dean Mteule Frank Richard Mntangi, ametambulishwa rasmi katika Makao Makuu ya Ofisi ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) yaliyopo Lushoto Tanga. Zoezi hili la utambulisho lililoongozwa na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu. Dean Mtangi amepokelewa na kutambulishwa kwa wakurugenzi pamoja na watumishi wa Ofisi Kuu.
- Hits: 3247
Page 3 of 129