ELCT North Eastern Diocese
Awamu ya tatu uchangiaji deni la Dayosisi kunusuru mali zisipigwe mnada
- Details
Askofu wa KKKT - Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewashukuru wana KKKT-DKMs pamoja na wadau wa maendeleo kwa namna walivyo jitoa na wanavyo endelea kujitoa katika uchangiaji wa deni linaloikabili Dayosisi.
- Hits: 1864
Askofu Dkt. Mbilu atoa wito kwa wazazi na walezi kutuma vijana wao KOTETI
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu ametoa wito kwa wazazi na walezi kutuma vijana wao kujiunga na masomo katika Taasisi ya elimu ya Kolowa Technical Training Institute (KOTETI) na kuongeza kuwa ni vema kutumia muda huu ambao Taasisi ya KOTETI inaendelea kufanya udahili kwa kutuma maombi yao ilikujiunga na Taasisi hiyo.
- Hits: 1738
Page 5 of 91