ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • Uongozi Bora: Askofu Dkt. Mbilu Aweka Mkazo kwenye Stahiki za Watumishi wa Dayosisi

    Uongozi Bora: Askofu Dkt. Mbilu Aweka Mkazo kwenye Stahiki za Watumishi wa Dayosisi

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), Dkt...
  • Mtheolojia Steven Emanuel Mhangwa abarikiwa kuwa Mchungaji

    Mtheolojia Steven Emanuel Mhangwa abarikiwa kuwa Mchungaji

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Mashariki(KKKT-DKMs), Dkt....
  • KATIKA PICHA NI MATUKIO YA IBADA YA KUBARIKIWA WACHUNGAJI KKKT-DKMs

    KATIKA PICHA NI MATUKIO YA IBADA YA KUBARIKIWA WACHUNGAJI KKKT-DKMs

    Matukio katika picha ni Ibada ya Jumapili siku ya Bwana ya 2 Kabla ya Majilio iliyofanyika KKKT-Dayo...
  • Pumzika kwa Amani Mwl. Mwanga  Yona  Wetundwa

    Pumzika kwa Amani Mwl. Mwanga Yona Wetundwa

  • Mwendelezo wa Ziara ya Askofu Johan Tyrberg

    Mwendelezo wa Ziara ya Askofu Johan Tyrberg

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Mwendelezo wa Ziara ya kikazi ya Askofu Dkt. Msafiri Mbilu, nchini Ujerumani

  • Print
Details
Published: 17 June 2025

Juni 17, 2025 Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ameendelea na ziara yake nchini Ujerumani na amekuwa na Kikao na Mkuu wa Jimbo la Vlotho Mch. Dorothea Goudefroy katika Ofisi ya Jimbo la Vlotho unaitwa Tambarare. Siyo jambo jepesi kupata jina la Mtaa kwenye nchi ya Ujerumani kwani ni lazima vikao vingi vifanyike na mapendekezo yakapitishwe na Wizara inayohusika kwa ngazi zao. Mtaa huu ulizinduliwa Mwaka 2011. Askofu Dkt. Mbilu alishiriki kwenye siku ya Uzinduzi wa Mtaa huu wakati akiwa Mwanafunzi wa PhD nchini Ujerumani.Wakati huo alialikwa kama mwana DKMs kuwa mmoja wa wanaoshirikiana na Meya wa Vlotho pamoja na Mkuu wa Jimbo la Vlotho wa wakati huo Andreas Hunnecke kuzindua Mtaa huu.

Hits: 4099

Read more ...

Ziara ya kikazi ya Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, nchini Ujerumani

  • Print
Details
Published: 16 June 2025
 
KATIKA PICHA NI: Ziara ya Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) Dkt. Msafiri Joseph Mbilu,akiwa inchini Ujerumani. Katika ishara ya uhusiano thabiti na wa muda mrefu kati ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Mashariki na Kanisa la Westphalia la nchini Ujerumani, Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu alikuwa miongoni mwa viongozi wa Ibada kubwa ya kumsimika Mkuu mpya wa Kanisa la Ujerumani, Bishop Dkt. Adelheid Tuck-Schröder.
Hits: 4118

Read more ...

Dean Mteule Mntangi asisitiza haki na ustawi wa watu wenye ulemavu kupewa kipaumbele katika jamii

  • Print
Details
Published: 12 June 2025

Viongozi mbalimbali wa serikali, dini pamoja na wataalam wa Elimu ya watu maalum wenye ulemavu wametakiwa kusimamia na kuhimiza haki na usawa wa kielimu kwa kushirikiana na jamii ili kuondoa dhana potofu katika jamii kuwa watu wenye ulemavu hawana uwezo wa kufanya jambo lolote katika jamii kwasababu ya hali waliyonayo.

Hits: 4129

Read more ...

Opening Ceremony Disability Sensitization Workshop

  • Print
Details
Published: 10 June 2025

 CLICK THE LINK BELOW

Opening Ceremony Disability Sensitization Workshop

Hits: 4364
  1. Ziara ya kikazi ya Askofu Dkt. Mbilu Vituo vya huduma Irente
  2. Askofu Dkt. Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Tanga
  3. KKKT-DKMs na maboresho ya Hospitali ya Kilutheri Bumbuli
  4. Askofu Dkt. Msafiri Mbilu, Ziarani Nchini Ujerumani

Page 5 of 132

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • ...

Back to Top

© 2025 ELCT North Eastern Diocese