ELCT North Eastern Diocese
KATIKA PICHA IBADA YA NDOA KATI YA MHANDISI ANJAWE TURUCK NYAGAWA NA DKT. SARAH MSAFIRI MBILU
- Details
MATUKIO KATIKA PICHA,IBADA YA NDOA KATI YA MHANDISI ANJAWE TURUCK NYAGAWA NA DKT. SARA MSAFIRI MBILU, IBADA IMEFANYIKA KATIKA USHARIKA WA MBEZI BEACH KKKT-DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI NA ILIONGOZWA NA MKUU WA KKKT MTEULE BABA ASKOFU DKT. ALEX MALASUSA . TAREHE 13,01,2024. DKT. SARA NI MTOTO WA KWANZA WA ASKOFU WA KKKT-DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI MCH DKT. MSAFIRI JOSEPH MBILU.
- Hits: 2009
Heri ya Mwaka Mpya 2024 , Tuanze yote katika Jina la Yesu Kristo
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amewataka Wazazi na Walezi wanapo upokea mwaka Mpya wa 2024 kuendelea kuwalea Watoto wao katika maadili mema kwani malezi bora ndiyo msingi wa kumsaidia Mtoto kutimiza malengo yake ya mbeleni.
- Hits: 2550
"Heri ya Krismas"
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewataka Wakristo kumpokea Yesu na kumkaribisha mioyoni mwao ili afanyike Nuru katika maisha yao na kuondoa giza na matendo yasiyofaa ambayo ni chukizo mbele za Mungu yaliyo tanda katika ulimwengu na kuwasihi kumpokea Yesu Kristo ambaye ni nuru ya ulimwengu.
- Hits: 2300
Page 8 of 107