ELCT North Eastern Diocese
Kuelekea Ibada ya kuwekwa wakfu Askofu wa KKKT-Dayosisi Mashariki ya Ziwa Victoria (Mwanza)
- Details

KATIKA PICHA: Ibada illiyokuwa na tendo la kuweka wakfu vifaa vya kiaskofu iliyofanyika KKKT-Dayosisi Mashariki ya Ziwa Victoria (Mwanza) Usharika wa Imani Kanisa Kuu. Ibada hii iliongozwa na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu.
- Hits: 1447
Picha ya pamoja mara baada ya Mkutano wa Halmashauri ya Utumishi ya KKKT
- Details
Walioketi ni Katibu Mkuu wa KKKT, Bw. Rogathe Mollel, Askofu wa KKKT-DKMS ambaye pia ndiye Mwenyekiti wa Halmashauri hii ya Utumishi ya KKKT Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, pamoja Katibu Mkuu Dayosisi Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria, Shinyanga Bi. Happiness Geffi ambaye ndiye Katibu Mwandishi wa Halmashauri ya Utumishi KKKT. Mkutano huu umefanyika tarehe 16/01/2025 katika Ukumbi wa New Safari Hotel Arusha.
- Hits: 1283
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi aitembelea KKKT-DKMs
- Details
Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu,akisalimiana na Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe.mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika katika Ofisi za Mkao Makuu ya KKKT-DKMs Lushoto Tanga.
- Hits: 1547
Page 2 of 124